Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akijadiliana jambo na Injinia Peter Mwaisabula na Amani Tongola kwenye eneo la ujenzi wa nyumba la Longido, Arusha. (Picha za Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa)
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi wakikagua eneo la ujenzi la mradi wa nyumba za gharama nafuu Monduli, Arusha. Kushoto ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Arusha, James Kisarika na Msimamizi wa Miradi wa NHC, Hassan Bendera.
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi wakikagua eneo la ujenzi la mradi wa nyumba za gharama nafuu Monduli, Arusha. Kushoto ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Arusha, James Kisarika na Msimamizi wa Miradi wa NHC, Hassan Bendera.
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akikagua eneo litakalotoa maji kwa ajili ya mji wa Safari City Arusha-Magereza,Arusha,
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akikagua eneo litakalotoa maji kwa ajili ya mji wa Safari City Arusha-Magereza,Arusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC CHALAMILA AMALIZA MGOGORO WA WAFANYABIASHARA WA MANZESE NA HALMASHAURI YA UBUNGO
Dar es Salaam, Julai 12, 2025 — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, leo amehitimisha mgogoro uliodumu kati ya Jumuiya ya W...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment