Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akijadiliana jambo na Injinia Peter Mwaisabula na Amani Tongola kwenye eneo la ujenzi wa nyumba la Longido, Arusha. (Picha za Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa)
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi wakikagua eneo la ujenzi la mradi wa nyumba za gharama nafuu Monduli, Arusha. Kushoto ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Arusha, James Kisarika na Msimamizi wa Miradi wa NHC, Hassan Bendera.
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi wakikagua eneo la ujenzi la mradi wa nyumba za gharama nafuu Monduli, Arusha. Kushoto ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Arusha, James Kisarika na Msimamizi wa Miradi wa NHC, Hassan Bendera.
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akikagua eneo litakalotoa maji kwa ajili ya mji wa Safari City Arusha-Magereza,Arusha,
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akikagua eneo litakalotoa maji kwa ajili ya mji wa Safari City Arusha-Magereza,Arusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment