Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akijadiliana jambo na Injinia Peter Mwaisabula na Amani Tongola kwenye eneo la ujenzi wa nyumba la Longido, Arusha. (Picha za Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa)
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi wakikagua eneo la ujenzi la mradi wa nyumba za gharama nafuu Monduli, Arusha. Kushoto ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Arusha, James Kisarika na Msimamizi wa Miradi wa NHC, Hassan Bendera.
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi wakikagua eneo la ujenzi la mradi wa nyumba za gharama nafuu Monduli, Arusha. Kushoto ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Arusha, James Kisarika na Msimamizi wa Miradi wa NHC, Hassan Bendera.
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akikagua eneo litakalotoa maji kwa ajili ya mji wa Safari City Arusha-Magereza,Arusha,
Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akikagua eneo litakalotoa maji kwa ajili ya mji wa Safari City Arusha-Magereza,Arusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
DKT. POSSI: VIONGOZI NI TASWIRA YA TAASISI NA SERIKALI KWA JAMII
Bi. Alice Mtulo, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali akizungumza na Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa kikao cha faragha ki...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment