Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba John Cheyo (kushoto) na Paul Kimiti (kulia) wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi mara baada ya kikao cha 41 ambacho kimepitisha marekebisho ya Kanuni za Bunge ili ziwawezeshe wajumbe walioko nje kupiga kura ya kupitisha vifungu mbalimbali vya Katiba inayopendekezwa.
No comments:
Post a Comment