Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Kilindi Mh. Selemani Liwowa mara baada ya kupokelea katika kata ya Kwediboma wilayani Kilindi ambapo pia ameshiriki katika ujenzi wa msingi wa zahanati ya kata hiyo, akiwa katika ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi Ndugu Nape Nnauye.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wakati alipowasili kwenye kata ya Kwediboma wilayani Kilindi mkoani Tanga.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki pamoja na wananchi katika ujenzi wa zahanati ya Kwediboma.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Ndugu Henry ShekifuKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika ujenzi wa Maabara ya shule ya sekondari ya kata ya Kibrashi wilayani Kilindi.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi.Vikundi vya ngoma vikitumbuiza katika mapokezi hayo.Wananchi wakinyoosha mikono yao juu kuashiria mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati wa ziara yake wilayani Kilindi mkoa wa Tanga.Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi Ndugu Nape Nnauye akiwahutubia Wananchi katika kata ya Kwediboma.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia WananchitKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwaongoza Wananchi kula kiapo cha utii.
No comments:
Post a Comment