Tuesday, September 30, 2014

MKUTANO WA MAAFISA WANADHIMU WA POLISI MOSHI

1 (1)Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki (kushoto) akielekea kufungua mkutano wa Maafisa wanadhimu, Wahasibu na watunza stoo wa Jeshi la Polisi kutoka Mikoa na Vikosi vya Polisi kote Nchini unaofanyika katika Chuo cha Polisi Moshi. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Moshi Dkt.Ibrahim Msengi  na Mkuu wa Chuo cha Polisi Moshi, Matanga Mbushi. (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
3 (1)Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa Maafisa wanadhimu, Wahasibu na watunza stoo wa Jeshi la Polisi wakiwa wanafuatilia hotuba ya Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mkutano huo unaofanyika katika Chuo cha Polisi Moshi.(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
5Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Dkt.Ibrahim Msengi wakati wa ufunguziwa  mkutano wa Maafisa wanadhimu, Wahasibu na watunza stoo wa Jeshi la Polisi kutoka Mikoa na Vikosi vya Polisi kote Nchini unaofanyika katika Chuo cha Polisi Moshi. Kushoto ni Kamishna wa fedha na logistiki Clodwig Mtweve.
(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)

No comments: