Saturday, September 27, 2014

MKE WA WAZIRI MKUU, MAMA TUNU PINDA AKIZUNGUMZA WAKATI ALIPOFUNGUA MFUKO WA CCM MSHIKAMANO NA VICOBA

PG4A9520[1]
PG4A9521[1]Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza  wakati alipozindua Mfuko wa CCM Mshikamano VICOBA kwenye ukumbi wa White House mjini Dodoma Septemba 25, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A9745[1]Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda (kulia) akifurahia zawadi ya kitenge alichokabidhiwa na Rais wa VOCOBA nchini , Devota Likokola (kuahoto) kwa niaba ya wanachama wa  Mfuko wa CCM Mshikamano  VICOBA katika uzinduzi wa mfuko huo kwenye  ukumbi wa White  House mjini Dodoma Septemba 25, 2014. Katikati ni Naima Malima, mke wa Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

RAIS SAMIA AMTEMBELEA PACOME, AMPATIA POLE NA KUMTAKIA AFYA NJEMA

  Dar es Salaam – Mchezaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua , amepata faraja ya kipekee baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungan...