Kutoka kushoto Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Bibi Anna T. Maembe na Naibu wake Bibi Nuru H.Millao wakipokea maelezo ya gari jipya (Toyota Land Cruiser) kutoka kwa mtaalam wa ununuzi wa UNDP Bw. Yona Samo ambaye alifika Wizarani kukabidhi gari hilo tarehe 17.9.2014. Katibu Mkuu Bi.Anna Maembe akiwa na Naibu wake akiwa akitoka kwenye gari baada ya kuliangalia gari hilo Mkuu wa kitengo cha Ununuzi WMJJW Bw. R.Mallya akikagua gari baada ya makabidhiano.
No comments:
Post a Comment