Thursday, November 07, 2013

Ujumbe wa kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China watembelea NHC

 Menejimenti ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika picha ya pamoja na Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akijadiliana jambo na Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.
 
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiwaonyesha kitu Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiuongoza Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kuingia kwenye jengo la NHC House.
  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiwaonyesha kitu Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...