Menejimenti ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika picha ya pamoja na Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akijadiliana jambo na Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiwaonyesha kitu Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiuongoza Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kuingia kwenye jengo la NHC House.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiwaonyesha kitu Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment