Thursday, November 07, 2013

Ujumbe wa kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China watembelea NHC

 Menejimenti ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika picha ya pamoja na Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akijadiliana jambo na Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.
 
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiwaonyesha kitu Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiuongoza Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kuingia kwenye jengo la NHC House.
  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiwaonyesha kitu Ujumbe mahsusi kutoka kampuni la kibishara linalojiusisha na masuala ya Ujenzi la Poly International ya China kwenye jengo la NHC House.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Awasili Marekani kwa Kikao cha UNGA 80

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango , leo tarehe 21 Septemba 2025 amewasili jijini New York, Marekani . ...