Thursday, November 14, 2013

KCB BENKI YAENDESHA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI‏

Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir akifungua semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.

Baadhi ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir(hayupo…


Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir akifungua semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.
Baadhi ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir(hayupo pichani)wakati akifungua semina kwa wajasiriamali hao ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na Benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.
Mkufunzi wa ujasiriamali Bw.Peace Lumelezi akitoa mada katika semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...