Thursday, November 14, 2013

KCB BENKI YAENDESHA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI‏

Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir akifungua semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.

Baadhi ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir(hayupo…


Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir akifungua semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.
Baadhi ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania,Bw.Moezz Mir(hayupo pichani)wakati akifungua semina kwa wajasiriamali hao ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na Benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.
Mkufunzi wa ujasiriamali Bw.Peace Lumelezi akitoa mada katika semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati ikiwa na lengo la kuwaelimisha jinsi ya kufanyabiashara na kutumia mikopo kwa njia sahihi,Semina hiyo iliyoandaliwa na benki hiyo itafanyika kwa siku mbili jijini Dar e Salaam.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...