Thursday, November 07, 2013

DJ Rankim Ramadhan afariki dunia

DJ Rankim Ramadhan pichani juu amefariki dunia.
Taarifa zilizoifikia Blog hii jiloni ya leo zinapasha kuwa DJ mkongwe ambaye anaujuzi wa hali ya juu katika kupangilia muziki awapo studio na Club DJ Rankim amefariki dunia wakati akifanyiwa upasuaji Hospitali ya Mwananyama. 

Ujumbe wa mwisho wa Novemba 4 mwaka huu alioutoa DJ Rankim katika ukurasa wake wa Facebook unanukuu maradhi yaliyokuwa yakimsumbua.

Rankim Ramadhani "Madokta wanasema ni apendix ndiyo inayonisumbua hapa sijala toka jana maumivu tu ndiyo yananitesa tumbo na mbavu vinauma sana na ss hv nachoma kristapen ya tatu kwa leo but theres no releaf"

Mipango ya mazishi inaweza kuwa Sinza kwa Remmy au Salasala. 

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...