Thursday, November 07, 2013

DJ Rankim Ramadhan afariki dunia

DJ Rankim Ramadhan pichani juu amefariki dunia.
Taarifa zilizoifikia Blog hii jiloni ya leo zinapasha kuwa DJ mkongwe ambaye anaujuzi wa hali ya juu katika kupangilia muziki awapo studio na Club DJ Rankim amefariki dunia wakati akifanyiwa upasuaji Hospitali ya Mwananyama. 

Ujumbe wa mwisho wa Novemba 4 mwaka huu alioutoa DJ Rankim katika ukurasa wake wa Facebook unanukuu maradhi yaliyokuwa yakimsumbua.

Rankim Ramadhani "Madokta wanasema ni apendix ndiyo inayonisumbua hapa sijala toka jana maumivu tu ndiyo yananitesa tumbo na mbavu vinauma sana na ss hv nachoma kristapen ya tatu kwa leo but theres no releaf"

Mipango ya mazishi inaweza kuwa Sinza kwa Remmy au Salasala. 

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...