Mmoja
wa wakazi wa kata ya Isansa akiimba
shairi la kupongeza juhudi za Waziri wa
Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo katika kupeleka umeme vijijini.
Friday, November 01, 2013
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO ATEMBELEA WILAYA YA MBOZI IKIWA NI PAMOJA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI
Kikundi
cha ngoma za asili kutoka katika kijiji cha Lyula kikitumbuiza wakati wa
mapokezi ya ugeni wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo
katika kijiji hicho.
Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akizungumza na wanakijiji wa
Lyula. Profesa Muhongo amewataka wananchi hao kujiandaa mradi wa umeme unaotarajia kuanza kutekelezwa
mapema Novemba kwa kufunga nyaya za
umeme katika nyumba zao.
Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akiagana na wanakijiji wa Lyula.
Wanakijiji hao wamefurahishwa mno na ujio wake huku wakitamani aendelee kuwa
nao.
Waziri
wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akisikiliza kero ya mmoja wa
wananchi wa kata ya Isansa.
Wanakijiji
wa kata ya Isansa wakishangilia hotuba ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa
Sospeter Muhongo (hayupo pichani)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment