Thursday, November 07, 2013

Serikali imependekeza ongezeko la adhabu kwa magazeti yanayochapisha habari zinazoweza kusababisha uchochezi au uvunjifu wa amani katika jamii kutoka faini ya shilingi elfu 10 na 5 hadi kiasi kisichopungua shilingi milioni 5



No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...