Thursday, November 07, 2013

Serikali imependekeza ongezeko la adhabu kwa magazeti yanayochapisha habari zinazoweza kusababisha uchochezi au uvunjifu wa amani katika jamii kutoka faini ya shilingi elfu 10 na 5 hadi kiasi kisichopungua shilingi milioni 5



No comments:

TBC Yawajengea Uwezo Washitiri Uzalishaji wa Vipindi

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Bw. Gwakisa Mlawa akizungumza wakati wa kufunga Mkutano wa 110 wa wadau wa elimu k...