Tuesday, November 19, 2013

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Ashiriki Mazishi Ya Aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi Kijijini Kwake, Chanjale, Kisangara Juu

 Askofu wa Jimbo, Geita Dmiano  Dallu akifukiza ubani mwili wa Dr. Edmund Mvungi katika ibada ya mazishi iliyofanyika  kijijini kwa marehemu, Chanjale wilayani Mwanga Novemba 18, 2013.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Dr.Edmund Mvungi katika ibada ya mazishi iliyofanyika kijijini kwa marehemu Chanjale wilayani Mwanga Novemba 18, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka shada la maua katika jeneza la marehemu Dr. Edmund Mvungi kabla ya azishi yaliyofanyika kijijini  kwa marehemu Chanjale  wilayani Mwanga Novemba 18, 2013. 

 Jeneza lenye mwili wa Dk Sengondo Mvungi likishushwa kaburini katika maziko yaliyofanyika kwenye kijiji cha Chanjale Kisangara Juu, wilayani Mwanga, Kilimanjaro, jana.Picha na Daniel Mjema na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments: