Wednesday, November 06, 2013

NSSF NA BUMACO ZAWAPIGA MSASA VIONGOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA KILIMANJARO


 Meneja wa NSSF mkoa wa Kilimanjaro Delphina Masika akimuelekeza jambo afisa utekelezaji wa NSSF Daudi Mwangole wakati wa warsha ya viongozi wa vyama vya ushirika.
  Viongozi wa vyama vya Ushirika  mkoa wa Kilimanjaro wakifuatilia maelzo
yaliyokuwa yakitolewa na maofisa wa mfuko wa hifadhi ya jamii mkoa wa
Kilimanjaro NSSF pamoja na maofisa wa kampuni ya BUMACO ambao ndio
waliandaa warsha hiyo. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aungana na Waombolezaji Chato Katika Ibada ya Kumuaga Mama wa Hayati Dkt. John Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumu...