Tuesday, November 12, 2013

MZIZIMA ROTARY CLUB YAMPA TUZO MKURUGENZI WA SHIRIKA LA NYUMBA (NHC)KWA UTENDAJI ULIOTUKUKA

1aRais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala akikabidhi cheti maalum cha kutambua utendakazi na mchango wa Nehemia Mchechu Kyando Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHC) wakati Club hiyo ilipomkabidhi cheti na tuzo maalum katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam.2aRais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala akikabidhi tuzo  maalum ya kutambua utendakazi na mchango wa Nehemia Mchechu Kyando Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHC) wakati Club hiyo ilipomkabidhi cheti na tuzo maalum katika hafla iliyofanyika kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam.3aKushoto ni Paul Mashauri na na wajumbe wengine wa Rotary Club wakimpigia makofi Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando hayupo pichani mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo4aMkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando akitoa shukurani zake kwa Rais wa Rotary Club na wajumbe wake mara baada ya kukabidhiwa tuzio hiyo. kulia ni Rais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala.5aMkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando akizungumza jambo na Paul Mashauri Mwenyekiti wa  East Africa Speakers Bureau (EASB) na katikati ni Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC, Muungano Kasibi Saguya6aMkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Mzizima Rotary Club Bw. Ambrose Ntageki Nshala mara baada ya kumalizika kwa hafla hiyo jana7aMkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu kushoto  akiwa katika picha ya pamoja na Paul Mashauri Mwenyekiti wa  East Africa Speakers Bureau (EASB)8aBaadhi ya wajumbe wa Rotary Club Mzizima wakiwa katika hafla hiyo9aBaadhi ya wajumbe wa Rotary Club Mzizima wakiwa katika hafla hiyo10aBaadhi ya wajumbe wa Rotary Club Mzizima wakiwa katika hafla hiyo11aMeneja Huduma kwa Jamii wa NHC , Muungano Kasibi Saguya kushoto akiwa na 
Yahya Charahani ambaye ni Meneja Mawasiliano wa NHC wakiwa katika hafla hiyo jana

No comments: