Wednesday, November 27, 2013

Majengo ya nyumba za makazi za NHC Mchikichini yakiwa hatua za mwisho





Majengo ya nyumba za makazi za NHC Mchikichini yakiwa katika hatua za mwisho za ujenzi, yatakapokamilika yatakaliwa na familia 48, ambapo katika kila nyumba ina vyumba vitatu jiko na choo pamoja na parking ya kutosha.

No comments:

TBC Yawajengea Uwezo Washitiri Uzalishaji wa Vipindi

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Bw. Gwakisa Mlawa akizungumza wakati wa kufunga Mkutano wa 110 wa wadau wa elimu k...