Wednesday, November 27, 2013

Majengo ya nyumba za makazi za NHC Mchikichini yakiwa hatua za mwisho





Majengo ya nyumba za makazi za NHC Mchikichini yakiwa katika hatua za mwisho za ujenzi, yatakapokamilika yatakaliwa na familia 48, ambapo katika kila nyumba ina vyumba vitatu jiko na choo pamoja na parking ya kutosha.

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...