Saturday, November 30, 2013

SHABIKI MKUBWA WA SOKA, RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE APOKEA KOMBE LA DUNIA!!

D92A7946Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilifunua na kulinyanyua Kombe la Dunia katika uwanja wa michezo Kirumba mjini Mwanza (picha na Freddy Maro)D92A7955D92A7966Rais Dkt. Jakaya Kikwete ni shabiki mkubwa mno wa michezo, na kila timu ya Taifa inapofanya kazi nzuri huwa anafarajika sana

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Awasili Marekani kwa Kikao cha UNGA 80

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango , leo tarehe 21 Septemba 2025 amewasili jijini New York, Marekani . ...