Katibu Mkuu, Ndugu Kinana akipokelewa  mkoa wa Kusini Unguja 
 Ndugu Kinana akisalimiana na Masheha
 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akishirikiana na Naibu Katibu Mkuu Bara Ndugu Vuai Ali Vuai kumwaga zenge la linta kwenye jengo la CCM Dunga.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kazi ya kupanda miti katika shamba la viungo la Alis Spices &Fruits Farm wakati alipokagua shughuli zinazofanywa katika shamba hilo lililopo Kwabani jimbo la Koani Zanzibar.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia miche ya mikarafuu.
 Shamba la Karafuu
 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akipiga picha ya pamoja na mmiliki wa shamba hili pamoja na wafanyakazi.
 uzinduzi wa kisima cha maji safi na salama 
 Sehemu ya Umati wa watu wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Tunduni,Jimbo la Uzini,Mkoa wa Kusini Unguja
 Sehemu ya Umati wa watu waliofika kwenye mkutano wea hadhara uliofanyika katika uwanja wa Tunduni,Jimbo la Uzini,Mkoa wa Kusini Unguja
 Katibu Mkuu akikabidhi Jezi kwa mmoja wa kiongozi ya timu ya Wasakatonge ,Suleiman Abdallah
 Mfuasi wa CHADEMA,Bi.Fatma Hassan akikabidhi kadi yake kwa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na kujiunga na chama hico
 Baadhi ya Wanachama wapya wakila kiapo




























No comments:
Post a Comment