Tuesday, January 20, 2015

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM MKOA WA KUSINI UNGUJA-ZANZIBAR.


 Katibu Mkuu, Ndugu Kinana akipokelewa  mkoa wa Kusini Unguja 



 Ndugu Kinana akisalimiana na Masheha






 Shamba la Karafuu
 uzinduzi wa kisima cha maji safi na salama 

 Sehemu ya Umati wa watu wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Tunduni,Jimbo la Uzini,Mkoa wa Kusini Unguja
 Sehemu ya Umati wa watu waliofika kwenye mkutano wea hadhara uliofanyika katika uwanja wa Tunduni,Jimbo la Uzini,Mkoa wa Kusini Unguja
 Katibu Mkuu akikabidhi Jezi kwa mmoja wa kiongozi ya timu ya Wasakatonge ,Suleiman Abdallah

 Mfuasi wa CHADEMA,Bi.Fatma Hassan akikabidhi kadi yake kwa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na kujiunga na chama hico
 Baadhi ya Wanachama wapya wakila kiapo

No comments: