Friday, January 16, 2015

Wateja wa Nyumba za NHC watembelea nyumba zao katika miradi ya NHC Mwongozo na NHC ECO Residence

 Baadhi ya wanunuzi wa nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa wakitembelea nyumba zao walizonunua katika mradi wa nyumba wa Mwongozo leo asubuhi, mbele yao wa pili kulia ni Mhandisi wa NHC anayesimamia mradi huo Elisante Olomi, wa kwanza ni Afisa mauzo wa NHC Deo Batakanwa.
Mhandisi wa NHC anayesimamia mradi wa nyumba za NHC Mwongozo akizungumza na baadhi ya wanunuzi wa nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakitembelea nyumba zao walizonunua katika mradi huo. Wa kwanza ni Afisa mauzo wa NHC Deo Batakanwa.

 Baadhi ya wanunuzi wa nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa wakitembelea nyumba zao walizonunua katika mradi wa nyumba wa Mwongozo  leo asubuhi mbele yao wa kwanza kulia ni Injinia wa NHC anayesimamia mradi huo Elisante Olomi 
Baadhi ya nyumba za mradi wa nyumba za NHC Mwongozo zinavyoonekana hivi leo.
 Baadhi ya wanunuzi wa nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa wakitembelea nyumba zao walizonunua katika mradi wa nyumba wa Mwongozo  leo asubuhi mbele yao wa kwanza kulia ni Injinia wa NHC anayesimamia mradi huo Elisante Olomi 
 Baadhi ya wanunuzi wa nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa wakitembelea nyumba zao walizonunua katika mradi wa nyumba wa Mwongozo  leo asubuhi mbele yao wa kwanza kulia ni Injinia wa NHC anayesimamia mradi huo Elisante Olomi 
 Nyumba za makazi za NHC Eco Residence zinavyoonekana hivi sasa. Nyumba hizo za makazi (units) 118  za mradi ujulikanao kama Eco Residence, uliopo katika eneo tulivu la Hananasif – Kinondoni, Dar es Salaam ni za  gharama ya kati na juu zipo Kilomita 6 kutoka katikati ya jiji la Dar es salaam, zikiwa karibu kabisa na maeneo ya Oysterbay, Upanga na Masaki.
  Nyumba za makazi za NHC Eco Residence zinavyoonekana hivi sasa. Nyumba hizo za makazi (units) 118  za mradi ujulikanao kama Eco Residence, uliopo katika eneo tulivu la Hananasif – Kinondoni, Dar es Salaam ni za  gharama ya kati na juu zipo Kilomita 6 kutoka katikati ya jiji la Dar es salaam, zikiwa karibu kabisa na maeneo ya Oysterbay, Upanga na Masaki.
 Baadhi ya wanunuzi wa nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa wakitembelea nyumba zao walizonunua katika mradi wa nyumba wa Eco Residence leo. 
 Afisa Mauzo wa NHC, Julieth Buberwa wa kwanza kulia akizungumza na baadhi ya wanunuzi wa nyumba za makazi za Eco Residence na Mwongozo waliotembelea kuona maendeleo ya miradi hiyo.
Wahandisi wa Mradi wa Eco  Residence wakijadiliana jambo wakati wa ziara hiyo ya wanunuzi wa nyumba leo.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...