Tuesday, January 27, 2015

WASANII KIBAO WATUMBUIZA TIGO MUSIC!


Khadija Omari Kopa akiwa na wacheza Show wake kwenye tamasha la Tigo Music, lilifanyika usiku wa Jumamosi ya Jan 24 mwaka huu. Mnenguaji wa Bibiye Khadija Kopa akifanya vitu vyake jukwaani
Mze Bichuka wa Sikinde nae alibichuka vilivyo!
Juma Katundu wa Msondo Ngoma nae akateremsha Msondo wa NGUVU.
Wakirithi mikoba ya Kina Mzee Gurumo na TX Moshi William!
Romario na Totoo ya Moshi, TX JR (kulia).
Mashabiki nao hawakua nyuma ya Pazia, walikaa mbele ya Pazia!
Roman Mng'ande wa Msondo Ngoma Band akiwajibika jukwaani
Wapenzi wa muziki wakiwa wanashangilia mojawapo ya show iliyokuwa ikiendelea uwanjani hapo.
Ebanaeeeeeeee! simchezooo!
Miduduuuuuuuu!

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...