Khadija Omari Kopa akiwa na wacheza Show wake kwenye tamasha la Tigo Music, lilifanyika usiku wa Jumamosi ya Jan 24 mwaka huu.
Mze Bichuka wa Sikinde nae alibichuka vilivyo! |
Juma Katundu wa Msondo Ngoma nae akateremsha Msondo wa NGUVU. |
Wakirithi mikoba ya Kina Mzee Gurumo na TX Moshi William! |
Romario na Totoo ya Moshi, TX JR (kulia). |
Mashabiki nao hawakua nyuma ya Pazia, walikaa mbele ya Pazia! |
Roman Mng'ande wa Msondo Ngoma Band akiwajibika jukwaani |
Wapenzi wa muziki wakiwa wanashangilia mojawapo ya show iliyokuwa ikiendelea uwanjani hapo. |
Ebanaeeeeeeee! simchezooo! |
Miduduuuuuuuu! |
No comments:
Post a Comment