Saturday, January 24, 2015

KAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA , UPASUAJI WA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU (MOI)

Picha ya pamoja Waziri wa Afya Seif Rashid (wa sita kulia) na wakiongozwa na Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya Huduma ya Bunge ,Kuduma ya Jamii Gregory Teu (wa nne kulia) na  Kaimu  Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)  Dk,  Othman  Kiloloma (wa tatu kushoto) na wengine ni wajumbe wa kamati hiyo ya  wabunge.
 
Kaimu  Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)  Dk,  Othman  Kiloloma (wa pili kulia) akiwa katika kikao hicho na kamati hiyo baada ya kutembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa majumuisho.
 
Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya Huduma ya Bunge ,Kuduma ya Jamii Gregory Teu (katika)  akifafanua jambo wakati wa kamati yiho ilipotembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)  na kwenda kutembelea Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)   na kufanya majumuisho katika  Hospitali hiyo ( kushoto)  ni Waziri wa Afya Seif Rashid
 
 
 
 
 
 
Mbunge wa Viti Maalum Rukwa  Abia Nyabakari (kushoto)  akisalimiana na Waziri wa Afya Seif Rashid, baada ya kutembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)   , katikati anaye shuhudia ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo  Dk,  Othman  Kiloloma
Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya
Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na
kutembelea Vyumba vya Wagogonjwa Mahututi (ICU) katika Taasisi hiyo.
Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na  kutembelea Vyumba vya Upasuaji katika Taasisi hiyo.
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo  Dk,  Othman  Kiloloma (kulia) akionyesha mashine zilizo mbovu kwa Kamati ya Kudumu ya ya Bunge ,Huduma za Jamii. 
Kamati ya Kuduma ya Bunge, Huduma za Jamii ilipo Tembelea Taasisi ya
Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) na
kutembelea Vyumba vya Upasuaji katika Taasisi hiyo.
 
Mkurugenzi wa Blog ya UJIJIRAHAA Khamis Mussa (kulia) katika Picha ya pamoja na baadhi ya  Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge , Huduma za Jamii  (kushoto) ni Dk. Hamisi Shaban (kushoto).
Kaimu  Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)  Dk,  Othman  Kiloloma (katikati), akimuonyesha Waziri wa Afya Seif Rashid, picha ya X-ray ya mgonjwa aliyekuwa akifanyiwa Upasuaji wa  mguu wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge , Huduma za Jamii  ilipotembelea Taasisi hiyo

No comments: