Friday, January 30, 2015

KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA LEO


 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akifurahia jambo  na Mbunge wa Viti Maalumu, Zainabu Vullu katika viwanja vya bunge  walipohudhuria kikao cha pili cha mkutano wa 18 wa Bunge mjini Dodoma jana.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akielezwa jambo na  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi katika  viwanja vya Bunge, mjini Dodoma jana.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...