TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WAFANYABIASHARA KUTOKA TANZANIA NA NCHI ZA GHUBA (GCC)
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh akieleza umuhimu wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC) utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.
No comments:
Post a Comment