Thursday, January 15, 2015

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WAFANYABIASHARA KUTOKA TANZANIA NA NCHI ZA GHUBA (GCC)

unnamed1Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh akieleza umuhimu wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.
unnamed3Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara kutoka Oman na nchi za Ghuba (GCC)   Saeed Saleh Saeed Al Kiyumi (katikati) akizungumza na baadhi ya wajumbe wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam. Kulia ni Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh na kushoto ni mkalimani aliyetafsiri maelezo ya mwenyekiti GCC Sudi Ahmed Rawahi.unnamed4Baadhi ya wafanyabiashara waliohudhuria mkutano wa matayarisho wa mkutano wa siku mbili wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.unnamedBalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh akieleza akizungumza na  wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  kuhusu mkutano utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.unnamed5unnamed6Baadhi ya wafanyabiashara waliohudhuria mkutano wa matayarisho wa mkutano wa siku mbili wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.unnamed7Baadhi ya wafanyabiashara waliohudhuria mkutano wa matayarisho wa mkutano wa siku mbili wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aungana na Watanzania Kusafiri kwa Treni ya Umeme ya Kiwango cha Kimataifa (SGR)

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), ameandika historia mpya mnamo Agosti 18, 2025, b...