Thursday, January 15, 2015

JK AWASILI MAPUTO KUHUDHURIA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI MHE.FILIPE NYUSI LEO

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe
Mama Salma Kikwete wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Maputo usiku huu kuhudhuria
sherehe za kuapishwa Rais Mpya wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi leo mjini
Maputo. Mhe. Nyusi anachukua hatamu za uongozi kutoka kwa Rais Armando Emilio
Jacinto  Guebuza anayemaliza muda
wake.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA YA SADC.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema katika kipindi cha mwaka mmoja cha uongozi wa Tanzania kat...