Sunday, June 07, 2015

NYALANDU NA NIA YA KUGOMBEA URAIS

ny1
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akionyesha mkoba wenye fomu za kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kukabidhiwa katika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, jana. Pembeni ni mkewe Faraja,
ny3
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akipongezwa na baba yake mzazi, Mzee Samuel Nyalandu, baada ya kukabidhiwa fomu kwa ajili ya kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kukabidhiwa katika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...