WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akionyesha mkoba wenye fomu za kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kukabidhiwa katika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, jana. Pembeni ni mkewe Faraja,
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akipongezwa na baba yake mzazi, Mzee Samuel Nyalandu, baada ya kukabidhiwa fomu kwa ajili ya kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kukabidhiwa katika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.


No comments:
Post a Comment