Friday, June 26, 2015

KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE, AKAGUA SOKO KUU WILAYANI MASASI LILOTEKETEA KWA MOTO

1
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akimsikiliza Mwenyekiti wa Soko Kuu wilayani Masasi Mkoani Mtwara, Abdallah Mandoma, lililoteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, mjini humo ambapo  chanzo cha moto huo kimeelezwa ni hitilafu ya umeme.
2
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akisaidia kuzima moto ambao uliteketeza Soko Kuu la Masasi Mkoani Mtwara, usiku wa kuamkia jana wafanyabiashara zaidi ya 1000 wamepata hassara.
…………..
AJALI
mail.google.com
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akisalimiana na askari
aliposhuka kuwapa pole abiria waliopata ajali eneo la Kata ya Mtua Kijiji cha Kilimahewa A, Mkoani Lindi jana, ambapo watu wawili walipoteza maisha. Chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi akijaribu kumkwepa muendesha
baskeli.
45
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akizungumza na wananchi wa eneo ilipotokea ajli hiyo.

No comments: