Thursday, June 18, 2015

NASSAR ATUMIA HELKOPTA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Jshua Nassar akizungumza na wananchi katika kata ya Shambarai Burka wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo kuhasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha katika daftarai la kudumu la wapiga kura.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika mkutano huo.
Mbunge Joshua Nassar akitelemka kutoka katika helkopta wakati alipofika katika kata ya Shambalai Burka kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha.
Mbunge Nassar pia alitumia mkutao huo kuwaonesha wananchi magari mawili ya kubeba wagonjwa aliyotoa kwa ajili ya Halmashauri ya wilaya ya Arumeru.
Magari mawili ya kubebea wagonjwa yaliyotolewa na Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kwa ajili ya watu wa jimbo hilo.
Mbunge Nassar akiwaapisha wananchi ikiwa ni moja ya hamasa kujitokeza katika kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Mbunge Nassar akiondoka katika uwaja huo mara baada ya kumalizza mkutano wa hadhara.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassar akisalimiana na rubani wa Helkopta wakati anaanza ziara ya kuhamaisha zoezi la uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa BVR.
Mbunge Nassar akifunga mikanda tayari kwa kuanza ziara.
Mbunge Joshua Nassar akitelemka kutoka katika helkopta wakati alipofika katika kata ya Shambalai Burka kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha.
Baaadhi ya wananchi wakiwa wamembeba Mbunge Joshua Nassar mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Shambarai Burka.
Mbunge Joshua Nassar akisalimiana na mmoja wa watoto waliojitokeza kumpokea.
Kundi la kina mama pia walikuwa miongoni wananchi waliojitokeza kumpokea Mbunge Nassar.
Mbunge Joshua Nassar akiwa na viongozi wengine wa Chadema wilaya ya Arumeru.
Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Arumeru ,Gadiel Mwenda akizungumza katika mkutano uliofanyika kata ya Shambarai Burka kuhamasisha wanachi kujitokeza katika zoezi la uandikishwaji.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments: