Thursday, June 25, 2015

BOTI YA KILIMANJARO V YAZINDULIWA ZANZIBAR

h
Mkurugenzi wa kampuni ya Azam Hussein Moh’d Said akiwaelezea Waandishi wa Habari juu ya safari ya Boti hiyo Kilimnjaro V  zitakavyokuwa kati ya Zanzibar na  Dari-esaalam .
( Pcha zote Na Miza Othman Maelezo Zanzibar).
j
Captain wa Boti ya Kilimanjaro (V)  Thomas akiwapa maelezo Waandishi wa Habari namana anavyoendesha Boti hiyo.
k
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakipanda katika Boti ya Kilimanjaro v iliyozinduliwa jana ambayo inatarajiwa kufanya safari zake hivi karibuni kati ya Zanzibar na Dar-esaalam.
l
Muonekano wa boti ya Kilimanjaro V.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...