Tuesday, June 16, 2015

RAIS KIKWETE AONGOZA MAELFU YA WAISLAM KWENYE MAZISHI YA SHEIKH MKUU WA TANZANIA

01
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye Kaburi la Marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba, aliezikwa leo Juni 16, 2015 kwenye Makaburi ya Waislam, Nguzo Nane Mkoani Shinyanga.
02
Masheikh kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini wakimzika Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba, aliezikwa leo Juni 16, 2015 kwenye Makaburi ya Waislam, Nguzo Nane Mkoani Shinyanga

No comments:

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAZISHI YA HAYATI NDUGAI

Asema aliimarisha ushirikiano kati ya Bunge na Serikali Atoa rai kwa Watanzania kuenzi mema yote aliyoyafanya enzi za uhai wake Waziri Mkuu ...