Thursday, June 18, 2015

Waajiriwa wapya NHC wapigwa msasa Semina ya mafunzo Dar

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akitoa somo kwa waajiriwa wapya wa Shirika la Nyumba la Taifa walioajiriwa hivi karibuni kwenye hoteli ya JB Belmont, Dar es Salaam 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...