Thursday, June 18, 2015

Waajiriwa wapya NHC wapigwa msasa Semina ya mafunzo Dar

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akitoa somo kwa waajiriwa wapya wa Shirika la Nyumba la Taifa walioajiriwa hivi karibuni kwenye hoteli ya JB Belmont, Dar es Salaam 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

WAZIRI WA FEDHA: BAJETI YA 2026/27 KUIJENGA TANZANIA YA DIRA YA 2050

  Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayot...