Thursday, June 18, 2015

Waajiriwa wapya NHC wapigwa msasa Semina ya mafunzo Dar

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akitoa somo kwa waajiriwa wapya wa Shirika la Nyumba la Taifa walioajiriwa hivi karibuni kwenye hoteli ya JB Belmont, Dar es Salaam 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.
Pichani baadhi ya Waajiriwa wapya wakisikiliza mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Felix Maagi wakati akiwasilisha mada kwenye semina ya mafunzo kwa waajiriwa wapya inayofanyika kwenye hoteli ya JB Belmonte iliyoko Golden Jubilee Tower, Jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...