Thursday, June 25, 2015

TANZANIA YAONGOZA AFRIKA MASHARIKI KWA UWEKEZAJI

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk. Florence Turuka (wa pili kulia) akionyesha ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji mara tu baada ya kuizindua kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia  ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Nakuala Senzia (wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya TIC,  Prof. Lucian Msambichaka (wa pili kushoto) na Mjumbe wa kamati ya Bodi ya TIC, Dr Frances Shao.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk. Florence Turuka (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),  Prof. Lucian Msambichaka kwa pamoja wakizindua ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Nakuala Senzia (wa kwanza kulia), akizungumza wakati wa uzinduzi waripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji mara tu baada ya kuizindua kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Pembeni yake ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk. Florence Turuka (wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),  Prof. Lucian Msambichaka (Katikati) na Mjumbe wa kamati ya Bodi ya TIC, Dr Frances Shao.
Baadhi ya wageni waalikwa na wafanyakazi wa TIC waliohudhuria hafla fupi ya uzinduzi wa ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana wakifuatilia uwasilishaji wa mada mbalimbali kuhusu uwekezaji zilizoambatana na uzinduzi huo.
Baadhi ya wageni waalikwa na wafanyakazi wa TIC waliohudhuria hafla fupi ya uzinduzi wa ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana wakifuatilia uwasilishaji wa mada mbalimbali kuhusu uwekezaji zilizoambatana na uzinduzi huo.

No comments: