Monday, June 01, 2015

CCM MOSHI VIJIJINI WAMPONGEZA MWENYEKITI MPYA WA MJI MDOGO WA HIMO HUSSEIN JAMAL.


Mwenyekiti Mpya wa mji mdogo wa Himo,Hussein
Jamal akiwasili katika ukumbi wa King size katika mji wa Himo kwa
ajili ya sherehe ya kupongezwa baada ya kufanikiwa kushinda kiti
hicho.


Baaadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi
waliofika katika sherehe ya pongezi kwa mwenyekiti wa mji mdogo wa
Himo.
Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya mji wa
Himo wakiwa katika sherehe hizo.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya
Moshi vijijini Miriam Kaaya akizungumza wakatio wa sherehe za
kumpongeza mwenyekiti wa mji mdpgo wa Himo ,Hussein
Jamal.
Kamanda wa Uhamasishaji wilaya ya Moshi
Vijijini Hassan Hussein,akizungumza wakati wa sherehe
hizo.
Mjumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha
Mapinduzi kutoka wilaya ya Kinondoni,
Mzee Shayo maarufu kama King size
akimpongeza naibu kamanda wa jumuiya ya Vijana wilaya ya Moshi
vijijini ,Innocent Melecky  kwa uamuzi wake wa kutangaza nia ya
kutaka kugombea jimbo la Vunjo.

Viongozi wakiimba nyimbo za pongezi
.
Mwenyekiti mpya wa mji mdogo wa Himo
,Hussein Jamal akizungumza na wananchi waliofika katika sherehe za
pongezi zilizofanyika katika ukumbi wa King size uliopo mji mdogo wa
Himo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya
Kaskazini.

No comments:

TARURA YATEKELEZA UJENZI WA KM 56 ZA BARABARA ZA LAMI ILALA KUPITIA DMDP II

‎Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kutekeleza ujenzi wa barabara zaidi ya Kilomita 56 kwa kiwango...