Monday, May 09, 2016

MSIBA WA MTOTO WA ANKAL


Familia ya Ankal Issa Michuzi iliyopatwa na msiba wa kuondokewa na na Mtoto wa Ankal, Maggid Muhidin kilichotokea jana Jumapili huko Durban, Afrika Kusini.

Msiba sasa umehamishiwa Tegeta Wazo Hill, Nyumbani kwa Mama Mzazi wa Marehemu (likiwa ni ombi maalum la Mama), na taratibu zote zinafanyika huko.

 Mipango ya kuusafirisha Mwili wa Marehemu kutoka nchini Afrika Kusini na kuja nyumbani kwa mazishi, inafanyika na taratibu za  mazishi zitatolewa mara tu baada ya mwili kuwasili nchini.

Habari ziwafikie ndugu, jamaa, majirani na marafiki popote pale walipo.

Innalillah wa inna ilayhi raajiun

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...