Tuesday, May 31, 2016

MAADHIMISHO YA MWAKA MMOJA WA GYM NHC AMBAYO YALIAMBATANA NA KUMUAGA MWANA GYM TIMON MANONGI

Kikosi cha mazoezi cha Shirika la Nyumba la Taifa kikiwa katika picha ya pamoja kwenye Bustani ya Jengo la Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwaka mmoja wa kuanzishwa kwa GYM kwajili ya kujiweka sawa afya za miili yao.
Kikosi cha mazoezi cha Shirika la Nyumba la Taifa kikiwa katika picha ya pamoja kwenye Bustani ya Jengo la Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwaka mmoja wa kuanzishwa kwa GYM kwajili ya kujiweka sawa afya za miili yao.
Kikosi cha mazoezi cha Shirika la Nyumba la Taifa kikiwa katika picha ya pamoja ndani ya GYM ya Jengo la Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE kikikongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu.
Baadaye kikosi hicho cha mazoezi cha Shirika la Nyumba la Taifa kilihamia katika ukumbi maarufu wa burudani wa Rhapsody kwaajili ya hafla ya pamoja ya maadhimisho ya mwaka mmoja lakini pia kumuaga mmoja wa wanachama wa GYM, Timon Manongi ambaye anaondoka kwenda masomoni.
 Baadaye kikosi hicho cha mazoezi cha Shirika la Nyumba la Taifa kilihamia katika ukumbi maarufu wa burudani wa Rhapsody kwaajili ya hafla ya pamoja ya maadhimisho ya mwaka mmoja lakini pia kumuaga mmoja wa wanachama wa GYM, Timon Manongi ambaye anaondoka kwenda masomoni.
Aliyekuwa Msimamizi wa Miradi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Timon Manongi akipewa mkono wa heri na Mkurugenzi wa Ubunifu ambaye ni bosi wake katika hafla ya kumuaga iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rhapsody.
Aliyekuwa Msimamizi wa Miradi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Timon Manongi akifurahia zawadi yake aliyopewa na Mkurugenzi wa Ubunifu ambaye ni bosi wake katika hafla ya kumuaga iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rhapsody.
 Aliyekuwa Msimamizi wa Miradi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Timon Manongi akifurahia zawadi yake ya keki aliyopewa na wafanyakazi wenzake.
  Aliyekuwa Msimamizi wa Miradi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Timon Manongi akifurahia zawadi yake ya keki aliyopewa na wafanyakazi wenzake.
 Aliyekuwa Msimamizi wa Miradi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Timon Manongi katika picha ya pamoja na wafanyakazi wenzake.
  Aliyekuwa Msimamizi wa Miradi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Timon Manongi katika picha ya pamoja na wafanyakazi wenzake.
 Mwalimu wa mazoezi wa GYM ya NHC akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wake katika picha ya pamoja kwenye ukumbi wa Rhapsody mwishoni mwa wiki.
 Mwalimu wa mazoezi wa GYM ya NHC akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wake katika picha ya pamoja kwenye ukumbi wa Rhapsody mwishoni mwa wiki.


No comments: