Monday, May 23, 2016

BALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA BALOZI JASEM AL-NAJEM AKABIDHI MSAADA WA MADAWA NA MAJI KWA AJILI YA KAMBI ZA KIPUNDUPINDU ZANZIBAR

Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Jasem Al-Najem, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar, kulia Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi Halima Maulid na kushoto kwa Balozi Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed na Mkurugenzi Kinga Wizara ya Afya Zanzibar. Dk Mohammed Dahoma. 
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akikabidhi msaada wa Dawa kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said, wakishuhudia kulia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bi Halima Maulid na kushoto Daktari Dhamana Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed.
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Jasem Al-Najem, akimkabidhi dawa Naibu Waziri Wizara ya Afya Zanzibar, Mhe. Harusi Said, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi Halima Maulid na kushoto kwa Balozi Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed na Mkurugenzi Kinga Wizara ya Afya Zanzibar. Dk Mohammed Dahoma. 
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi Halima Maulid akimkabidhi Madawa Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed, baada ya kukabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania.

No comments: