Tuesday, May 24, 2016

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AZINDUA KAMPENI YA LONGA NASI LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia kwenye uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki kabla ya kuzindua mpango wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia mpango wa utekelezaji wa TAKUKURU kwenye uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam. Kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki, kushoto Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valontino Mlowola.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akivuta kamba kuondoa kitambaa kuzindua mpango wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam. Kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki, kushoto Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valontino Mlowola.
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuwia na kupambana na Rushwa Nchini TAKUKURU Valontino Mlowola baada ya kuzindua mpango wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam. (Picha na OMR).

No comments: