Monday, May 30, 2016

KONGAMANO LA KUKARIBISHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

Mmakamu wa Rais mstaafu Dr Mohammed Gharib Bilal akizungumza wakati wa kufungua rasmi kongamano la nane la kukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani liloandaliwa na kalamu education foundation (kef), katika ukumbi wa julius nyerere convention centre jijini dar es salaam.
Mkurugenzi mtendaji wa benki ya Amana Dr.Muhsin S.Masoud akitoa neno kwa wageni waalikwa, ambapo amana bank ni wadhamini wakuu wa kongamano hilo.
Mke wa imam Qasim - Hasaina M.khan katika kongamano la nane la kukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani lililofanyika jijini dar es salaam, kushoto kwake ni mtwangi. 
Baadhi washiriki wa Kongamano hilo
Makamu wa Rais mstaafu Dr Mohammed Gharib Bilal (wa pili kushoto) akimkabidhi zawadi imam qasim ibn ali khan kutoka marekani (kushoto), wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa kamati ya maandalizi na rais wa kef mohamed kamilagwa(kulia) pamoja na mkurugenzi mtendaji wa benki ya amana dr.muhsin s. masoud(wa pili kulia)
Imam Qasim Ibn Ali khan kutoka Marekani akitoa mada wakati wa kongamano la nane la kukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani liloandaliwa na kalamu education foundation (kef), jana jijini dar es salaam.
Baadhi ya Washiriki wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakijiri kwenye kongamano hilo

No comments: