![]() |
| Mratibu wa Kongamano hilo Marx Chocha akizungumza jambo kwenye mkutano huo. |
![]() |
| Vijana wakisikiliza kwa makini mada mijadala iliyokua inatolewa. |
![]() |
| Ushiriki wa vijana wa kike ulipewa umuhimu wa kipekee katika mkutano huo na walionesha uwezo wao katika kujadili masuala mbalimbali yakiwemo ajira ,usalama na amani na mabadiliko ya tabia nchi. |
![]() |
| Mshiriki kutoka Zanzibar,Asma Omar akifatilia kwa makini. |
![]() |
| Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa(UN)Hoyce Temu |
![]() | |
|
![]() |
| Mshiriki kutoka jijini Dar es Salaam,Lilian Kimani akipokea cheti chake baada ya kutambuliwa kufanya vizuri kama mkuu wa Itifaki kwenye mkutano huo. |
![]() |
| Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini,Alvaro Rodriguez akimkabidhi mmoja wa vijana cheti cha kutambua mchango wake . |
![]() |
| Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini,Alvaro Rodriguez akimkabidhi mmoja wa vijana cheti cha kutambua mchango wake . |
![]() |
| Vijana wakiwa wamechangamka kwenye mkutano wa Baraza Kivuli la Umoja wa Mataifa. |
![]() |
| Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini,Alvaro Rodriguez(katikati)akiwa na washindi waliofanya vizuri katika matumizi ya mitandao. |
![]() |
![]() |
| Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini,Alvaro Rodriguez(katikati)akiwa katika picha ya pamoja na vijana kutoka nje ya nchi waliohudhuria mkutano huo. |
![]() |
| Spika wa Bunge la Muungano mstaafu,Mzee Pius Msekwa na mke wake,Mama Anna Abdallah . |















No comments:
Post a Comment