Monday, June 01, 2015

PINDA AKUTANA NA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA MAREKANI, APOKEA GARI LA WAGONJWA

MIZ1
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gari la kubeba wagonjwa lililotolewa na kampuni ya  Sayed Corporation Limited  kwa ajili ya hospitali ya  Endulen ya Ngorongoro . Gari hilo lilikabidhiwa kwa Waziri Mkuu, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Juni 1, 2015 na  Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Bw. Masood  ur Rehman Sayed (kulia kwake) jijini Dar es slaam .  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MIZ2
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Marekani, Ofisi kwake jijini Dar es salaam Juni 1, 2015. Kulia kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje,Liberata Mulamula. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MIZ3
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Marekani baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake jijini Dar es salaam Juni 1, 2015. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikikiano wa Kimataifa, Liberata Mulamula.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

1 comment:

Vimax Asli said...

thanks for sharing nice blog and good information

TARURA MUSOMA WAPONGEZWA UJENZI WA MIRADI KULINGANA NA THAMANI YA FEDHA

  Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndugu Ismail Ali Ussi amewapongeza wafanyakazi wa TARURA wilaya ya Musoma kwa kufanya kazi kwa weledi n...