Monday, June 01, 2015

DK. SLAA AKIKAGUA UANDISHWA BVR- VWAWA- MBOZI, MBEYA

wil1
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk, Wilbroard Slaa (kushoto) akipata maelekezo kutoka kwa mwandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, Mailosy Bukuku namna mashine ya BVR zinavyofanya kazi katika kituo cha Igamba Wilayani Mbozi, Mbeya jana.
wil2
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk, Wilbroard Slaa (kushoto) akipata maelekezo kutoka kwa mwandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, Eldah Chakachaja namna mashine ya BVR zinavyofanya kazi katika kituo cha Igamba Wilayani Mbozi, Mbeya jana wakati Dk Slaa alipfanya ziara ya kutembelea vituo vya kujiandikia wananchi wilayani Mbozi Mbeya.
wil3
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk, Wilbroard Slaa (kushoto) akipata maelekezo kutoka kwa mwandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, Eldah Chakachaja namna mashine ya BVR zinavyofanya kazi katika kituo cha Igamba Wilayani Mbozi, Mbeya jana wakati Dk Slaa alipfanya ziara ya kutembelea vituo vya kujiandikia wananchi wilayani Mbozi Mbeya.
wil4
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk, Wilbroard Slaa , akizungumza na wananchi waliojikeza kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga katika kijiji cha Igamba wilayani Mbozi jana. SOURCE: Fullsahangwe.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...