Monday, March 02, 2015

WAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA MBOZI MKOA WA MBEYA

1Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wauguzi na madaktari ya hospitali ya mkoa wa Mbeya wakati alipofika hospitalini hapo kuwaona majeruhi wa ajali ya askari wa kutuliza ghasia iliyotokea  Februari 28, 2015 kati ya Mbeyana Chuna.
(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
2Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimfariji WP Cecilia  Mussa mmoja wa askari waliojeruhiwa akatika ajali ya gari iliyotokea katika  kijiji cha Chang’ombe  katika barabara ya barabara ya Mbeya Chunya Machi 1, 2015. Majeruhi hao wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa Mbeya na hali zao ni nzuri.
4Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu  Pinda akimfariji WP Mwazanije Hassan  mmoja wa askari waliojeruhiwa akatika ajali ya gari iliyotokeakwenye kijiji cha Chang’ombe  katika barabara ya Mbeya Chunya Machi 1, 2015. Majeruhi hao wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa Mbeya na hali zao ni nzuri.
6Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wananchi wa Vwawa , Mbozi akiwa katika ziara ya mkoa wa mbeaya Machi 1, 2015
789Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakitazama ngoma ya kabila la Wanyiha  wakati walipotembelea kiwanda cha kusindika kahawa cha CMS kilichopo Mbozi wakiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Machi 1, 2015
10Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisikiliza maelezo kuhusu utafiti wa zao la kahawa kutoka kwa  Mtafiti Charles Mwingira wakati alipotembelea kituo cha utafiti wa kahawa cha Mbimba , Mbozi machi 1, 2015.
11Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akikagua shamba la mfano la kahawa fupi wakati alipotembelea kituo cha utafiti wa zao la kahawa akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Machi 1, 2015
13

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua maabara ya Shule ya Sekondari ya Vwawa akiwa kayioka ziara ya mkoa wa Mbeya Machi 1, 2015. Kushoto ni Mkuu  wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro.
15Waziri Mkuu, Mizengo Pindaq akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Vwawa  baada ya kufungua  maabara zao akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Machi 1, 2015
17Waziri Mkuu, Mizengo Pinda namkewe Tunu wakikagua sehemu ya shehena ya mahindi iliyohifadhiwa nje ya maghala ya NFRA, Vwawa, Mbozi Machi 1, 2015

No comments: