Tuesday, August 04, 2015

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI -KUHAKIKI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

1
Tunawatangazia wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR katika mikoa ya:-
NJOMBE, IRINGA,  MTWARA, LINDI,  RUVUMA, KATAVI, RUKWA, MBEYA, DODOMA, SINGIDA, TABORA, KIGOMA NA KAGERA
Kujitokeza ili
KUHAKIKI TAARIFA ZAO  KATIKA DAFTARI LAKUDUMU LA MPIGA KURA
Ambalo lipo katika vituo walipojiandikishia,
Kuanzia tarehe 01 Agosti 2015, Kuanzia saa mbili (2:00) asubuhi mpaka saa kumi na mbili (12:00)  jioni.
Mashine itakuwepo kituoni kwa ajili ya kusahihisha makosa yaliyojitokeza wakati wa kujiandikisha.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA PANGANI, AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI TANGA

PANGANI, TANGA – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 26, 2025, amezungumza na wananc...