Tuesday, August 04, 2015

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI -KUHAKIKI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

1
Tunawatangazia wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR katika mikoa ya:-
NJOMBE, IRINGA,  MTWARA, LINDI,  RUVUMA, KATAVI, RUKWA, MBEYA, DODOMA, SINGIDA, TABORA, KIGOMA NA KAGERA
Kujitokeza ili
KUHAKIKI TAARIFA ZAO  KATIKA DAFTARI LAKUDUMU LA MPIGA KURA
Ambalo lipo katika vituo walipojiandikishia,
Kuanzia tarehe 01 Agosti 2015, Kuanzia saa mbili (2:00) asubuhi mpaka saa kumi na mbili (12:00)  jioni.
Mashine itakuwepo kituoni kwa ajili ya kusahihisha makosa yaliyojitokeza wakati wa kujiandikisha.

No comments:

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKITUNUKIWA NISHANI YA HESHIMA YA JUU YA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI (THE GRAND CORDON)

Dar es Salaam, 14 Agosti 2025  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Nish...