Thursday, November 13, 2014

RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU

1
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutokaHospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.24Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Daktari Edward Schaeffer muda mfupi baada ya kuruhusiwa kutoka katika hospitali ya Johns Hopkins huko Baltimore, Maryland nchini Marekani ambapo alifanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.(picha na Freddy Maro)

No comments:

UHUSIANO WA TANZANIA NA KOREA KUSINI WAZIDI KUIMARIKA

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba akiagana na Balozi wa Korea Kusini nchini Tanzania, Mhe. Eunje Ahn, baada ya ...