Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa hotuba yake katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Hassan Maajar Trust yenye lengo la kukusanya Sh. milioni 500 ili kuununua madawati 6000kwa ajili ya wanafunzi wenye ukosefu wa vifaa hivyo iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dares Salaam.
No comments:
Post a Comment