Saturday, November 01, 2014

CAROLINE BERNARD ANYAKUA TAJI LA MISS UNIVERSE 2014


Mrembo Caroline Bernard akipungia mkono muda mfupi baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndio Miss Univerce 2014, katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip,Jijini Dar es Salaam.
Mrembo Calorine Bernard akipongezwa na washiriki wenzake.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...