Saturday, November 01, 2014

CAROLINE BERNARD ANYAKUA TAJI LA MISS UNIVERSE 2014


Mrembo Caroline Bernard akipungia mkono muda mfupi baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndio Miss Univerce 2014, katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip,Jijini Dar es Salaam.
Mrembo Calorine Bernard akipongezwa na washiriki wenzake.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...