Saturday, November 01, 2014

CAROLINE BERNARD ANYAKUA TAJI LA MISS UNIVERSE 2014


Mrembo Caroline Bernard akipungia mkono muda mfupi baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndio Miss Univerce 2014, katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip,Jijini Dar es Salaam.
Mrembo Calorine Bernard akipongezwa na washiriki wenzake.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...