Tuesday, November 18, 2014

Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Kanda ya Temeke wakutana











 Wasanii wa Kundi la Wanne Star wakitoa burudani kwenye hafla hiyo. Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Kanda ya Temeke walikutana mwishoni mwa wiki katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano uliopo ndani ya Jengo la Quality Center, Barabara ya Nyerere Road jijini Dar es Salaam, lengo likiwa ni kutoa Elimu kuhusu Sheria Mpya ya Hifandhi ya Jamii,iliyodhaminiwa na waasisi na Wanachama wa PPF Kanda ya Temeke.
 Maafisa wa Mfuko wa PPF wakifatilia Burudani iliyokuwa ikitolewa na kundi la Wanne Star.
 Sehemu ya Wadau na Maofisa wa Mfuko wa PPF wakiwa kwenye hafla hiyo.

Meneja wa PPF akitoa mada ya Elimu kuhusu Sheria Mpya ya Hifandhi ya Jamii.

Afisa wa Kitengo cha ICT wa Mfuko wa PPF,Majaliwa Mkinga akizungumza wakati wa hafla hiyo.




No comments:

WAZIRI WA FEDHA: BAJETI YA 2026/27 KUIJENGA TANZANIA YA DIRA YA 2050

  Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayot...