Monday, November 10, 2014
SIMBA YAONA MWEZI TAIFA, YAIFUNGA RUVU SHOOTING 1-0
Mfungaji wa bao pekee la Simba dhidi ya Ruvu Shooting, Emmanuel Okwi akishangilia wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa. (Picha na Francis Dande wa Blogu ya Jamii)
Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya Okwi kuifungia timu yake bao pekee.
Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya Okwi kuifungia timu yake bao pekee.
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akiwatoka mabeki wa Ruvu Shooting.
Elius Maguli akiwatoka mabeki wa Ruvu Shooting.
Mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulrahman Musa (kulia) akiwania mpira na Elius Maguli wa Simba.
Kocha wa Simba, Patrick Phiri akikumbatiana na Okwi baada ya mchezo na tmu yake kupata ushindi wa kwanza tangu kuanza kwa Ligi.
Makipa wa Simba, Peter Manyika JR na Steven Mapunda (kulia) wakishangilia ushindi wa kwanza wa Simba tangu kuanza kwa Ligi Kuu.
Wachezaji wa Simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Ruvu Shooting 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Okwi akishangilia baada ya kumalizika mpira.
Okwi akiwa na furaha baada ya kuifungia timu yake bao pekee.
Mashabiki wa Simba wakiwa na furahi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment