Thursday, November 06, 2014

BALOZI WA RWANDA NCHINI AKUTANA NA KINANA

Balozi wa Rwanda nchini Eugene S. Kayihura akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana mara baada ya kuwasili kwenye ofisi za CCM Makao Makuu Ofisi Ndogo Lumumba jijini Dar es salaam.
Balozi wa Rwanda nchini Eugene S. Kayihura akisaini kitabu cha wageni kwenye ofisi za CCM Ofisi Ndogo Lumumba ambapo alikuwa na maongezi na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Eugene S. Kayihura .Balozi wa Rwanda nchini Tanzania amekutana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye Ofisi Ndogo za CCM Lumumba akiongozana na Msaidizi wa Balozi Ndugu Ernest Bugingo.

No comments:

Rais Samia Akipokea Taarifa Muhimu Kuhusu Hifadhi ya Ngorongoro

Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Zoezi la Uhamaji wa Hiari wa Wakazi wa Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Katibu Mkuu Mstaafu, Mhandisi...