Monday, November 17, 2014

JAJI MKUU AMJULIA HALI RAIS KIKWETE MAREKANI

1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe
Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba
16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins
jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika
hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume. Kushoto ni mke wa
Rais Mama Salma Kikwete. Jaji Mkuu yuko Marekani kwa ziara ya kikazi
ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria
mkutano maalumu wa kimataifa wa Mabadiliko ya Sheria ya Ushahidi
jijini Washington na pia kukutana na taasisi mbalimbali za fedha na
marafiki wa maendeleo katika ili  kupata wabia  wa ujenzi wa maendeleo
ya mahakama.(PICHA NA IKULU)
2: Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa
Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman pamoja na ujumbe wake
waliopomtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika
hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore,
Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo
alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume.  Jaji Mkuu na ujumbe wake wako
Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na
ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa kimataifa wa Mabadiliko ya
Sheria ya Ushahidi jijini Washington  na pia kukutana na taasisi
mbalimbali za fedha na marafiki wa maendeleo katika ili  kupata wabia
wa ujenzi wa maendeleo ya mahakama. Wengine kutoka kushoto ni Balozi
wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula, Jaji wa Mahakama ya
rufani Mhe Ibrahim Juma, Msajili wa Mahakama Kuu Mhe Ignass Kitusi,
daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi na Mtendaji Mkuu wa Mahakama
Mhe Hussein Katanga.
3Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu Mhe Mohamed
Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16,
2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini
Baltimore, Maryland.  Jaji Mkuu yuko  Marekani kwa ziara ya kikazi
ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria
mkutano maalumu wa kimataifa wa Mabadiliko ya Sheria ya Ushahidi na
pia kukutana na taasisi mbalimbali za fedha na marafiki wa maendeleo
katika ili  kupata wabia  wa ujenzi wa maendeleo ya mahakama.
 5
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Afisa wa Ubalozi wa
Tanzania nchini Marekani  Dkt. Sweetbert Mkama ambaye alimsindikiza
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman kwenda kumjulia hali
jijini Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 20146Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Meja Jenerali Adolph
Mutta ambaye alimsindikiza Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande
Othman kwenda kumjulia hali jijini Baltimore, Maryland, Jumapili
Novemba 16, 2014
7Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na  Mtendaji Mkuu wa
Mahakama Mhe Hussein Katanga. ambaye ni mmoja wa wajumbe wa msafara wa
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman walipokwenda kumjulia
hali jijini Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014
8Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na  Msajili wa Mahakama Kuu
ya Tanzania Mhe Ignass Kitusi  ambaye ni mmoja wa wajumbe wa msafara
wa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman walipokwenda
kumjulia hali jijini Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014
9Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na  Balozi wa Tanzania
nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula aliyesindikiza   msafara wa Jaji
Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman walipokwenda kumjulia hali
jijini Baltimore, Maryland, Jumapili Novemba 16, 2014
10Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Jaji wa Mahakama Ya
Rufani Tanzania Mhe Ibrahim Juma  ambaye ni mmoja wa wajumbe wa
msafara wa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman
walipokwenda kumjulia hali jijini Baltimore, Maryland, Jumapili
Novemba 16, 2014
11Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Jaji Mkuu wa Mahakama ya
Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali
Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya
Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada
kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume.  Jaji
Mkuu na ujumbe wake wako  Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja
na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa
kimataifa wa Mabadiliko ya Sheria ya Ushahidi jijini Washington  na
pia kukutana na taasisi mbalimbali za fedha na marafiki wa maendeleo
katika ili  kupata wabia  wa ujenzi wa maendeleo ya mahakama.


SOURCE: Fullshangwe

No comments: