Tuesday, November 11, 2014

Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya Marekani yaendesha kliniki ya masikio mkoani Arusha

1q
MMOJA wa wataalamu wa kuchunguza matatizo ya masikio, Stuart Specer kutoka Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya nchini Marekani inayoendesha kliniki ya masikio aakitaniana na mkazi wa Arusha, Ally Abdulrahman aliyewahi kuishi nchini humo ambaye kwa sasa ana matatizo ya kusikia kwenye kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace Jijini Arusha jana
3q
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mount Meru na chuo cha Biashara cha Arusha (IAA) waliokuja kujitolea wakisaidia kutoa huduma mbalimbali kwenye kliniki ya masikio iliyoratibiwa kwa pamoja kati ya Montage Limited na Starkey Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha 
4q
Wagonjwa wenyematatizo ya usikivu wakisubiri kupata matibabu kwenye kliniki ya matibabu na uwekaji vifaa vya kuongeza kiwango cha usikivu iliyoratibiwa kwa pamoja kati ya Montage Limited na Starkey Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace.
5qBaadhi ya wanafunzi wa Shule ya MsingiMeru wakisubiri kupatiwa huduma ya matibabu ya masikio kwenyeKliniki inayoendesha na taasisi kutoka Marekani ya Starkey Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha .
7q
DAKTARI, Assay Shibanda(kushoto) na John Yuccas wakimwekea mwanafunzi wa Shule ya Msingi Elbol,Levina Innocent mashine ya kuongeza kiwango cha usikivu kwenye Kliniki inayoendeshwa kwa pamojakati ya Montage Limited na taasisi kutoka Marekani ya Starkey Hearing Foundation ya kuwawekea vifaa vya kuongeza usikivu inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha 
8qMtaalamu wa matatizo ya usikivu kutoka Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya nchini Marekani, Derek Johson akimfanyia uchunguzi wa awali wamasikio mmoja wa watu wenye usikivu hafifu waliokuja kuhudhuria Kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha 

9qMratibu wa Taasisi ya Starkey Hearing Foundation kutoka Marekani, Derek Johnson akitoa maelezo ya awali kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mount Meru na chuo cha Biashara cha Arusha, (IAA) waliokuja kujitolea kutoa huduma mbalimbali ya matibabu na uwekaji vifaa vya kuongeza kiwangocha usikivu masikioni kwenye Kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jana. Kushoto ni Msimamizi Mkuu wazoezi hilo, Teddy Mapunda.

No comments: