Monday, November 24, 2014

UTT-AMIS YAFANYA MKUTANO WA TATU WA WAWEKEZAJI

 Mwenyekiti
wa 
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Uwekezaji Nchini (UTT-AMIS),Joseph Kuzilwa akizungumza wakati wa Mkutano Maalum wa Tatu
wa Wawekezaji uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa UTT-AMIS, Hamis Kibola,
akizungumza wakati wa Mkutano Maalum wa Tatu wa Wawekezaji.
Simon Higangala, akifafanua jambo wakati wa Mkutano Maalum wa Tatu wa Wawekezaji.
Mkurugenzi wa Fedha na Utawala (UTT-AMIS), Joan Msofe akifafanua jambo jijini Dar es Salaam
wakati wa Mkutano Maalum wa Tatu wa Wawekezaji nchini.

Baadhi ya wanachama wa
UTT, wakichangia mada wakati wa Mkutano Maalum wa Tatu wa Wawekezaji nchini.
Baadhi ya wanachama wa
UTT, wakichangia mada wakati wa Mkutano Maalum wa Tatu wa Wawekezaji nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Uwekezaji (UTT-AMIS), HamisKibola (kushoto) akiteta jambo na Mwenyekiti
wa 
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Uwekezaji Nchini (UTT-AMIS),Joseph Kuzilwa.
Wanachama wa Mfuko wa Uwekezaji (UTT-AMIS).

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...